FAHAMU MENGI YALIOFANYWA NA KIWANDA CHA FOMI KATIKA MIAKA SABA IKITEREZA SHUGHULI ZAKE
Kipindi cha 1 Kiwanda cha FOMI kina makao makuu yake Maramvya,Zone ya Mutimbuzi, wilaya ya Ntahangwa, mkoa wa Bujumbura. Kiwanda hicho kilianza shughuli zake mwaka wa 2019 na kinapatikana karibu ya kiwanja cha ndege cha kimataifa Melchior NDADAYE. FOMI ni kifupi cha maneno ya kifaransa Fertilisants Organo-Mineraux na tafsiri yake
Read moreFOMI: MALIGHAFI ZINAZOHITAJIKA KWA KUTENGENEZA MBOLEA ZAENDELEA KUFIKA
Gari kubwa kubwa zinaendelea kufikisha malighafi zinazohitajika kwa kutengenezea mchanganyiko wa mbolea asili na za madini kwenye kiwanda cha FOMI Bujumbura. Wafanyakazi walikua wakipakua vifaa hivyo na kuviweka kwenye store huku magari mengine mengi akiwa amepaki akisubiri kupakuliwa.Tuwakumbushe kwamba FOMI Imbura ni mbolea inayotumiwa na wakulima kwa kupanda mazao kama
Read more