dustra
  • Nyumbani
  • Kuhusu Sisi
  • Bidhaa Zetu
    • FOMI-IMBURA
    • FOMI-TOTAHAZA
    • FOMI-BAGARA
    • CHAUX AGRICOLE
  • Timu
  • Habari
  • Wasiliana Nasi
  • Lugha
    • ENG
    • FRA
    • KIR

Uncategorized - FOMI-Sw

  • Home
  • Archive for category "Uncategorized"
  • Disemba 31, 2025
  • FOMI

Mkutano na waandishi wa habari wa kampuni ya Fomi kuhusu uzalishaji na usambazaji wa mbolea tarehe 31/12/2025.

Fomi pdfPakua

Read more
  • Disemba 23, 2025
  • FOMI

MBOLEA YA FOMI IMEDHIRISHA KUWA NA UWEZO WA KURUDISHA RUTUBA ARDHI KWENYE SEHEMU NYINGI

https://www.facebook.com/photo/?fbid=1187039126937375&set=pcb.1187039210270700&cft[0]=AZamBBiErr5ZQSfYeyVFUSdy7fuBhc8NxnOwisN9ym0Kn9fieIl5XqS4xs3roG-Vfa3ljX3X_k34X6h05P0LqlCEVIJpBvmPRKb6DWI94aaU5elN1qLABPceLAddq2-qAHRAFTunF9CiWJ8hBMt0ObepqOniljBbfg6vMDY3tayZ1rwQtQxc8nPQselaHXkM7rI&tn=*b0H-R Ardhi yetu ilipoteza rutuba na ikapelekea kupoteza uwezo wake wa kuzalisha.Kupoteza rutuba kulisababishwa na kutohifadhi mazingira vizuri,kutotengeneza mistari ya kudhibiti maji kwenye sehemu ya mitiririko na kukata miti.Wakiwa na lengo la kutaka kuongeza uzalishaji,wakulima walitumia mbolea ya kizungu: DAP,MOP na Urea.Kuvuna walikua wakivuna lakini mbolea hiyo ilisababisha ardhi kupoteza

Read more
  • Disemba 4, 2025
  • FOMI

Wizara ya kilimo,ufugaji na mazingira inatia moyo wakulima kuhusu ukosefu wa mbolea#FOMI

Kwenye warsha ilioabdaliwa na MAC leo alhamisi kwenye Hoteli ya source du Nil jijini Bujumbura ili watasmini shughuli ambazo wamezifanya toka mwaka wa 2022 hadi 2025,walioshika na fasi kuchangia wote wameshukuru mafundisho waliopewa na wafanyakazi wa FOMI kuhusu namna ya kurutubisha ardhi kwa kutumia mbolea za FOMI.Mwenyekiti #MAC NDUWIMANA Aimé

Read more
  • Disemba 4, 2025
  • FOMI

Timu ya Burundi Black Eagle ilikabiliana na ASAS Djibouti Télécom kutoka Djibouti.

Tarehe 21 Septemba 2025, timu ya Burundi Aglai Noir ilikabiliana na ASAS Djibouti Telecom kutoka Djibouti.Mchezo huu ulifanyika katika mkoa wa Bujumbura, kwenye uwanja wa Intwari, na uliisha kwa sare ya (0–0). Kampuni ya FOMI, inayozalisha mbolea za kikaboni na madini, ilikuwa miongoni mwa makampuni yaliyoidhamini mechi hii.Wakurugenzi wa idara

Read more
  • Disemba 4, 2025
  • FOMI

Mawaziri watatu (3) wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (RDC) walitembelea kampuni ya FOMI.

https://youtu.be/0iLMyPJ7VXg

Read more
  • Disemba 2, 2025
  • FOMI

Kiongozi wa taasisi inayosimamia mbolea nchini Tanzania anasifu jinsi kiwanda cha FOMI kinavyozalisha na kusambaza mbolea kuwafikia wakulima.

Jumatatu, tarehe 8 Julai 2025, kampuni inayozalisha mbolea ya kikaboni na ya madini, FOMI, ilipokea wageni kutoka nchini Tanzania. Walikuwa wakiongozwa na mkuu wa taasisi ya udhibiti wa mbolea nchini Tanzania, Tanzania Fertilizer Regulatory Authority, Dkt. Antony Diallo. Katika hotuba yake ya ukaribisho, Mkurugenzi Mkuu wa FOMI, Simon Ntirampeba, aliwapatia

Read more

Recent Posts

  • Mkutano na waandishi wa habari wa kampuni ya Fomi kuhusu uzalishaji na usambazaji wa mbolea tarehe 31/12/2025.
  • MBOLEA YA FOMI IMEDHIRISHA KUWA NA UWEZO WA KURUDISHA RUTUBA ARDHI KWENYE SEHEMU NYINGI
  • Wizara ya kilimo,ufugaji na mazingira inatia moyo wakulima kuhusu ukosefu wa mbolea#FOMI
  • Timu ya Burundi Black Eagle ilikabiliana na ASAS Djibouti Télécom kutoka Djibouti.
  • Mawaziri watatu (3) wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (RDC) walitembelea kampuni ya FOMI.

Recent Comments

Hamna maoni ya kuonyesha.

Category

  • Uncategorized (6)

Wasiliana Nasi

  • Route de l'Aéroport(RN5)-Zone Mutimbuzi
  • info@fomi.bi

Bidhaa Zetu

  • FOMI-IMBURA
  • FOMI-TOTAHAZA
  • FOMI-BAGARA
  • CHAUX AGRICOLE

Saa za ufunguzi

  • Jumatatu :
    8.00 - 17.00
  • Jumanne :
    8.00- 17.00
  • Jumatano :
    8.00 - 17.00
  • Alhamisi - Ijumaa :
    8.00 - 17.00
  • Jumamosi :
    8.00 - 13.00
  • Jumapili :
    Imefungwa

© 2025 FOMI- Designed by Manix MUGISHA.

dustra