Kiwanda kinachotengeneza mbolea ya asilia ambayo imechanganyika na ya madini FOMI, kwa mda ambao kimemaliza kikitengeneza mbolea yenye ubora wa kipekee, inayowezesha uzalishaji kuwa mkubwa na kurudisha rutuba ya ardhi, kinasaidia pia watafiti wenye lengo la kuendeleza au kuboresha ujuzi wao. Kwa sasa,kiwanda hicho kiko kwenye hatua ya kupokea watafiti wanaotokea inchi zingine. Hiyo ni ishara nzuri inayothibitisha uhusiano mzuri kati ya Burundi na inchi za kigeni.